MEGA.Bible Поиск
Русский

1 Mambo Ya Nyakati 23:31

na wakati wowote sadaka za kuteketezwa zilipotolewa kwa Mwenyezi Mungu siku za Sabato na kwenye sikukuu za Mwezi Mwandamo na katika sikukuu nyingine zilizoamriwa. Iliwapasa kuhudumu mbele za Mwenyezi Mungu mara kwa mara kwa idadi maalum na kwa namna waliyokuwa wamepewa maelekezo.

Читать в контексте

Этот стих в реальном мире

Кто

God

Встроить этот стих

Скопируйте этот HTML на свой сайт — свободное использование, без ключей, без слежки. Добавьте ?theme=light или ?theme=dark к адресу, чтобы подошло к вашей странице.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/1ch/23/31" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="1 Mambo Ya Nyakati 23:31 — MEGA.Bible"></iframe>