1 Mambo Ya Nyakati 23:31
na wakati wowote sadaka za kuteketezwa zilipotolewa kwa Mwenyezi Mungu siku za Sabato na kwenye sikukuu za Mwezi Mwandamo na katika sikukuu nyingine zilizoamriwa. Iliwapasa kuhudumu mbele za Mwenyezi Mungu mara kwa mara kwa idadi maalum na kwa namna waliyokuwa wamepewa maelekezo.1 Mambo Ya Nyakati 23:31 katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- שַׁבָּתshabbâthintermission, i.e (specifically) the Sabbath
- תָּמִידtâmîydproperly, continuance (as indefinite extension); but used only (attributively as adjective
- מִסְפָּרmiçpâra number, definite (arithmetical) or indefinite (large, innumerable; small, a few); also (
- מוֹעֵדmôwʻêdproperly, an appointment, i.e. a fixed time or season; specifically, a festival; conventio
- חֹדֶשׁchôdeshthe new moon; by implication, a month
- עֹלָהʻôlâha step or (collectively, stairs, as ascending); usually a holocaust (as going up in smoke)
- מִשְׁפָּטmishpâṭproperly, a verdict (favorable or unfavorable) pronounced judicially, especially a sentenc
- עָלָהʻâlâhto ascend, intransitively (be high) or actively (mount); used in a great variety of senses
+maneno 2 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Isa 1:13–14, Lev 23:1–17, Lev 23:39, Num 10:10, Psa 81:1–4, Lev 23:24, Num 28:1–29