Mambo Ya Walawi 16:17
Mtu yeyote haruhusiwi kuwa ndani ya Hema la Kukutania, kuanzia wakati Haruni anapoingia kufanya upatanisho katika Patakatifu pa Patakatifu, hadi atakapotoka nje, baada ya kujifanyia upatanisho yeye mwenyewe na nyumba yake, pamoja na jumuiya yote ya Israeli.This verse in the real world
Where
In what words
- כָּפַרkâpharto cover (specifically with bitumen); figuratively, to expiate or condone, to placate or c
- קָהָלqâhâlassemblage (usually concretely)
- מוֹעֵדmôwʻêdproperly, an appointment, i.e. a fixed time or season; specifically, a festival; conventio
- אֹהֶלʼôhela tent (as clearly conspicuous from a distance)
- קֹדֶשׁqôdesha sacred place or thing; rarely abstract, sanctity
- אָדָםʼâdâmruddy i.e. a human being (an individual or the species, mankind, etc.)
- יָצָאyâtsâʼto go (causatively, bring) out, in a great variety of applications, literally and figurati
- בַּיִתbayitha house (in the greatest variation of applications, especially family, etc.)
+1 more words in this verse
The Hebrew and Greek words standing behind this verse. Word-by-word alignment comes with the interlinear.