Zekaria 1:6
Je, maneno yangu na amri zangu nilizowaagiza manabii watumishi wangu, hayakuwapata baba zenu? “Kisha walitubu na kusema, ‘Mwenyezi Mungu, Mungu wa majeshi ya mbinguni ametutenda sawasawa na njia zetu na matendo yetu yalivyostahili, kama alivyokusudia kufanya.’ ”Mstari huu katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- זָמַםzâmamto plan, usually in a bad sense
- מַעֲלָלmaʻălâlan act (good or bad)
- נָשַׂגnâsagto reach (literally or figuratively)
- חֹקchôqan enactment; hence, an appointment (of time, space, quantity, labor or usage)
- נָבִיאnâbîyʼa prophet or (generally) inspired man
- צָבָאtsâbâʼa mass of persons (or figuratively, things), especially reg. organized forwar (an army); b
- צָוָהtsâvâh(intensively) to constitute, enjoin
- דֶּרֶךְdereka road (as trodden); figuratively, a course of life or mode of action, often adverb
+maneno 7 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Lam 2:17, Ezk 12:25–28, Deu 28:15, Mat 24:35, Jer 23:20, Jer 44:28, Dan 9:11–12, Amo 9:10