Zekaria 1:7
Katika siku ya ishirini na nne ya mwezi wa kumi na moja, yaani mwezi uitwao Shebati, katika mwaka wa pili wa utawala wa Dario, neno la Mwenyezi Mungu lilimjia nabii Zekaria mwana wa Berekia mwana wa Ido.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- שְׁבָטShᵉbâṭShebat, a Jewish month
- בֶּרֶכְיָהBerekyâhBerekjah, the name of six Israelites
- דָּֽרְיָוֵשׁDârᵉyâvêshDarejavesh, a title (rather than name) of several Persian kings
- עִדּוֹʻIddôwIddo (or Iddi), the name of five Israelites
- עַשְׁתֵּיʻashtêyeleven or (ordinal) eleventh
- זְכַרְיָהZᵉkaryâhZecarjah, the name of twenty-nine Israelites
- חֹדֶשׁchôdeshthe new moon; by implication, a month
- אַרְבַּעʼarbaʻfour
+maneno 9 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.