Kumbukumbu La Torati 9:4
Baada ya Mwenyezi Mungu, Mungu wenu, kuwafukuza mbele yenu, msiseme mioyoni mwenu, “Mwenyezi Mungu ametuleta hapa kuimiliki nchi hii kwa sababu ya haki yetu.” La, ni kwa sababu ya uovu wa mataifa haya ndio Mwenyezi Mungu anawafukuza mbele yenu.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- הָדַףHâdaphto push away or down
- רִשְׁעָהrishʻâhwrong (especially moral)
- צְדָקָהtsᵉdâqâhrightness (abstractly), subjectively (rectitude), objectively (justice), morally (virtue)
- יָרַשׁyârashto occupy (by driving out previous tenants, and possessing in their place); by implication
- לֵבָבlêbâbthe heart (as the most interior organ);
- גּוֹיgôwya foreign nation; hence, a Gentile; also (figuratively) a troop of animals, or a flight of
- פָּנִיםpânîymthe face (as the part that turns); used in a great variety of applications (literally and
- אֶרֶץʼeretsthe earth (at large, or partitively a land)
+maneno 4 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Deu 8:17, Deu 9:5, Deu 18:9–14, 2Ti 1:9, 1Co 4:7, Lev 18:24–30, Tit 3:3–5, Rom 11:6