2 Wafalme 23:12
Alizivunja madhabahu ambazo wafalme wa Yuda walikuwa wamezijenga kwenye paa la ghorofa ya Ahazi, pia madhabahu alizokuwa amezijenga Manase katika nyua mbili za Hekalu la Mwenyezi Mungu. Akaziondoa huko, akazivunja vipande vipande, na kutupa hicho kifusi katika Bonde la Kidroni.2 Wafalme 23:12 katika ulimwengu halisi
Wapi
Lini
Kwa maneno gani
- קִדְרוֹןQidrôwnKidron, a brook near Jerusalem
- עֲלִיָּהʻălîyâhsomething lofty, i.e. a stair-way; also a second-story room (or even one on the roof); fig
- גָּגgâga roof; by analogy, the top of an altar
- אָחָזʼÂchâzAchaz, the name of a Jewish king and of an Israelite
- נָתַץnâthatsto tear down
- עָפָרʻâphârdust (as powdered or gray); hence, clay, earth, mud
- רוּץrûwtsto run (for whatever reason, especially to rush)
- שָׁלַךְshâlakto throw out, down or away (literally or figuratively)
+maneno 10 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
