MEGA.Bible Tafuta
Kiswahili

2 Wafalme 23:12

Alizivunja madhabahu ambazo wafalme wa Yuda walikuwa wamezijenga kwenye paa la ghorofa ya Ahazi, pia madhabahu alizokuwa amezijenga Manase katika nyua mbili za Hekalu la Mwenyezi Mungu. Akaziondoa huko, akazivunja vipande vipande, na kutupa hicho kifusi katika Bonde la Kidroni.

Soma katika muktadha

2 Wafalme 23:12 katika ulimwengu halisi

Wapi

Pachika mstari huu

Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/2ki/23/12" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="2 Wafalme 23:12 — MEGA.Bible"></iframe>