2 Wafalme 23:11
Akaondoa kutoka ingilio la Hekalu la Mwenyezi Mungu wale farasi ambao wafalme wa Yuda walikuwa wamewaweka wakfu kwa ajili ya jua. Walikuwa kwenye ua karibu na chumba cha afisa aliyeitwa Nathan-Meleki. Basi Yosia akayachoma moto yale magari ya vita yaliyokuwa yamewekwa wakfu kwa jua.2 Wafalme 23:11 katika ulimwengu halisi
Lini
Kwa maneno gani
- נְתַן־מֶלֶךְNᵉthan-MelekNethan-Melek, an Israelite
- פַּרְבָּרParbârParbar or Parvar, a quarter of Jerusalem
- מֶרְכָּבָהmerkâbâha chariot
- לִשְׁכָּהlishkâha room in a building (whether for storage, eating, or lodging)
- סָרִיסçârîyça eunuch; by implication, valet (especially of the female apartments), and thus, a ministe
- שָׁבַתshâbathto repose, i.e. desist from exertion; used in many implied relations (causative, figurativ
- שָׂרַףsâraphto be (causatively, set) on fire
- שֶׁמֶשׁshemeshthe sun; by implication, the east; figuratively, a ray, i.e. (architectural) a notched bat
+maneno 8 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.