2 Wafalme 23:13
Mfalme pia akanajisi mahali pa juu pa kuabudia miungu, zilizokuwa mashariki mwa Yerusalemu upande wa kusini wa Kilima cha Uharibifu, ambapo Sulemani mfalme wa Israeli alikuwa amejenga mahali pa kuabudia kwa ajili ya Ashtorethi mungu wa kike wa Wasidoni, aliyekuwa chukizo; na kwa ajili ya Kemoshi mungu wa Wamoabu, aliyekuwa chukizo; na kwa ajili ya Moleki mungu wa watu wa Amoni, aliyekuwa chukizo.2 Wafalme 23:13 katika ulimwengu halisi
Lini
Kwa maneno gani
- עַשְׁתֹּרֶתʻAshtôrethAshtoreth, the Phoenician goddess of love (and increase)
- מַלְכָּםMalkâmMalcam or Milcom, the national idol of the Ammonites
- כְּמוֹשׁKᵉmôwshKemosh, the god of the Moabites
- מַשְׁחִיתmashchîythdestructive, i.e. (as noun) destruction, literally (specifically a snare) or figuratively
- צִידֹנִיTsîydônîya Tsidonian or inhabitant of Tsidon
- שִׁקּוּץshiqqûwtsdisgusting, i.e. filthy; especially idolatrous or (concretely) an idol
- עַמּוֹןʻAmmôwnAmmon, a son of Lot; also his posterity and their country
- בָּמָהbâmâhan elevation
+maneno 12 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.



