2 Wafalme 12:18
Lakini Yoashi mfalme wa Yuda akavichukua vyombo vyote vitakatifu vilivyowekwa wakfu na baba zake, yaani Yehoshafati, Yehoramu na Ahazia, wafalme wa Yuda, na vyombo vyake vyote ambavyo alikuwa ameviweka wakfu, pamoja na dhahabu yote iliyokuwa katika hazina za Hekalu la Mwenyezi Mungu na katika jumba la kifalme; akazipeleka kwa Hazaeli mfalme wa Aramu, ambaye hatimaye aliondoka Yerusalemu.2 Wafalme 12:18 katika ulimwengu halisi
Lini
Kwa maneno gani
- יְהוֹאָשׁYᵉhôwʼâshJehoash, the name of two Israelite kings
- חֲזָאֵלChăzâʼêlChazael, a king of Syria
- יְהוֹרָםYᵉhôwrâmJehoram, the name of a Syrian and of three Israelites
- אֲחַזְיָהʼĂchazyâhAchazjah, the name of a Jewish and an Israelite king
- אוֹצָרʼôwtsâra depository
- יְהוֹשָׁפָטYᵉhôwshâphâṭJehoshaphat, the name of six Israelites; also of a valley near Jerusalem
- אֲרָםʼĂrâmAram or Syria, and its inhabitants; also the name of the son of Shem, a grandson of Nahor,
- קָדַשׁqâdashto be (causatively, make, pronounce or observe as) clean (ceremonially or morally)
+maneno 12 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.

