MEGA.Bible Поиск
Русский

Ezekieli 9:2

Nami nikaona watu sita wakija toka upande wa lango la juu linalotazama kaskazini, kila mmoja akiwa na silaha za kuangamiza mkononi mwake. Kati yao palikuwa na mtu aliyevaa mavazi ya kitani safi, naye alikuwa na vifaa vya mwandishi kiunoni mwake. Wakaingia ndani ya Hekalu na kusimama pembeni mwa madhabahu ya shaba.

Читать в контексте

Этот стих в реальном мире

Встроить этот стих

Скопируйте этот HTML на свой сайт — свободное использование, без ключей, без слежки. Добавьте ?theme=light или ?theme=dark к адресу, чтобы подошло к вашей странице.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/ezk/9/2" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="Ezekieli 9:2 — MEGA.Bible"></iframe>