MEGA.Bible Поиск
Русский

1 Mambo Ya Nyakati 28:1

Daudi akawaita maafisa wote wa Israeli wakusanyike huko Yerusalemu: yaani maafisa walio juu ya makabila, majemadari wa vikosi katika utumishi wa mfalme, majemadari wa maelfu na majemadari wa mamia, maafisa wanaosimamia mali yote na mifugo ya mfalme na wanawe, wakiwemo maafisa wa jumba la kifalme, mashujaa na wapiganaji hodari wote.

Читать в контексте

Этот стих в реальном мире

Кто

David

Перекрёстные ссылки

1Ch 23:2, 1Ch 11:10–47, 1Ch 27:1–34, Jos 23:2, Jos 24:1

Встроить этот стих

Скопируйте этот HTML на свой сайт — свободное использование, без ключей, без слежки. Добавьте ?theme=light или ?theme=dark к адресу, чтобы подошло к вашей странице.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/1ch/28/1" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="1 Mambo Ya Nyakati 28:1 — MEGA.Bible"></iframe>