MEGA.Bible Tafuta
Kiswahili

1 Mambo Ya Nyakati 28:1

Daudi akawaita maafisa wote wa Israeli wakusanyike huko Yerusalemu: yaani maafisa walio juu ya makabila, majemadari wa vikosi katika utumishi wa mfalme, majemadari wa maelfu na majemadari wa mamia, maafisa wanaosimamia mali yote na mifugo ya mfalme na wanawe, wakiwemo maafisa wa jumba la kifalme, mashujaa na wapiganaji hodari wote.

Soma katika muktadha

Mstari huu katika ulimwengu halisi

Nani

David

Pachika mstari huu

Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/1ch/28/1" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="1 Mambo Ya Nyakati 28:1 — MEGA.Bible"></iframe>