1 Mambo Ya Nyakati 28:1
Daudi akawaita maafisa wote wa Israeli wakusanyike huko Yerusalemu: yaani maafisa walio juu ya makabila, majemadari wa vikosi katika utumishi wa mfalme, majemadari wa maelfu na majemadari wa mamia, maafisa wanaosimamia mali yote na mifugo ya mfalme na wanawe, wakiwemo maafisa wa jumba la kifalme, mashujaa na wapiganaji hodari wote.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Wapi
Nani
Kwa maneno gani
- רְכוּשׁrᵉkûwshproperty (as gathered)
- מַחֲלֹקֶתmachălôqetha section (of Levites, people or soldiers)
- קָהַלqâhalto convoke
- סָרִיסçârîyça eunuch; by implication, valet (especially of the female apartments), and thus, a ministe
- מִקְנֶהmiqnehsomething bought, i.e. property, but only livestock; abstractly, acquisition
- שָׁרַתshârathto attend as a menial or worshipper; figuratively, to contribute to
- גִּבּוֹרgibbôwrpowerful; by implication, warrior, tyrant
- שֵׁבֶטshêbeṭa scion, i.e. (literally) a stick (for punishing, writing, fighting, ruling, walking, etc.
+maneno 9 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
