Nimekuja kwenye bustani yangu, dada yangu, bibi arusi wangu; nimekusanya manemane yangu pamoja na manukato yangu. Nimekula sega langu la asali na asali yangu; nimekunywa divai yangu na maziwa yangu. Rafiki Kuleni, enyi rafiki, mnywe; kunyweni ya kutosha, ee wapenzi.