Ayubu 25
1 Ndipo Bildadi Mshuhi akajibu:
2 “Mamlaka na kuheshimiwa ni vyake Mungu; yeye huthibitisha amani katika mbingu juu.
3 Je, majeshi yake yaweza kuhesabika? Ni nani asiyeangaziwa na nuru yake?
4 Mtu awezaje kuwa mwadilifu mbele za Mungu? Awezaje mtu aliyezaliwa na mwanamke kuwa safi?
5 Ikiwa hata mwezi sio mwangavu nazo nyota si safi machoni pake,
6 sembuse mtu ambaye ni funza: mwanadamu ambaye ni buu tu!”
ข้ออ้างอิงโยง
34
- 2Rev 6:16, Col 1:20, 1Ch 29:11–12, Job 40:9–14, Isa 57:19, Eph 1:20–21, Job 26:5–14, Dan 4:34–37
- 3Jas 1:17, Mat 5:45, Isa 40:26, Jhn 1:4, Gen 1:3–5, Jhn 1:9, Psa 103:20–21, Psa 19:4–6
- 4Rom 5:1, Psa 130:3, Job 9:2, Job 4:17–19, Job 15:14–16, Psa 143:2, Rev 1:5, Psa 51:5
- 5Isa 60:19–20, Job 15:15, Job 31:26, Isa 24:23, 2Co 3:10
- 6Isa 41:14, Psa 22:6, Job 4:19, Job 7:17, Gen 18:27
Topics in this chapter
9
Angel (A Spirit), Bildad, Depravity of Man, God, Humility, Job, Man, Moon, Worm