MEGA.Bible ค้นหา
ไทย

Yeremia 21:7

Baada ya hayo, nitamtia Sedekia mfalme wa Yuda, maafisa wake na watu wa mji huu ambao walinusurika tauni, upanga na njaa, mkononi mwa Nebukadneza mfalme wa Babeli, na kwa adui zao wale wanaotafuta uhai wao. Atawaua kwa upanga; hatakuwa na rehema juu yao au huruma wala kuwasikitikia,’ asema Mwenyezi Mungu.

อ่านในบริบท

Embed this verse

Copy this HTML into your site — free to use, no keys, no tracking. Add ?theme=light or ?theme=dark to the address to match your page.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/jer/21/7" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="Yeremia 21:7 — MEGA.Bible"></iframe>