MEGA.Bible Tafuta
Kiswahili

Yeremia 21:7

Baada ya hayo, nitamtia Sedekia mfalme wa Yuda, maafisa wake na watu wa mji huu ambao walinusurika tauni, upanga na njaa, mkononi mwa Nebukadneza mfalme wa Babeli, na kwa adui zao wale wanaotafuta uhai wao. Atawaua kwa upanga; hatakuwa na rehema juu yao au huruma wala kuwasikitikia,’ asema Mwenyezi Mungu.

Soma katika muktadha

Pachika mstari huu

Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/jer/21/7" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="Yeremia 21:7 — MEGA.Bible"></iframe>