Yeremia 18:14
Je, barafu ya Lebanoni iliwahi kutoweka kwenye miteremko yake ya mawe wakati wowote? Je, maji yake baridi kutoka vyanzo vilivyo mbali yaliwahi kukoma kutiririka?Je, barafu ya Lebanoni iliwahi kutoweka kwenye miteremko yake ya mawe wakati wowote? Je, maji yake baridi kutoka vyanzo vilivyo mbali yaliwahi kukoma kutiririka?