Yeremia 18:13
Kwa hiyo hili ndilo asemalo Mwenyezi Mungu: “Ulizia miongoni mwa mataifa: Ni nani alishasikia jambo kama hili? Jambo la kutisha sana limefanywa na Bikira Israeli.Kwa hiyo hili ndilo asemalo Mwenyezi Mungu: “Ulizia miongoni mwa mataifa: Ni nani alishasikia jambo kama hili? Jambo la kutisha sana limefanywa na Bikira Israeli.