Waamuzi 3:31
Baada ya Ehudi akaja Shamgari mwana wa Anathi, aliyewapiga Wafilisti mia sita kwa fimbo ya ng’ombe. Naye pia akawaokoa Waisraeli.Baada ya Ehudi akaja Shamgari mwana wa Anathi, aliyewapiga Wafilisti mia sita kwa fimbo ya ng’ombe. Naye pia akawaokoa Waisraeli.