Lakini Yonathani alikuwa hajasikia kuwa baba yake alikuwa amewafunga watu kwa kiapo, hivyo akainyoosha ncha ya fimbo iliyokuwa mkononi mwake na kuichovya katika sega la asali. Akainua mkono wake na kuutia kinywani mwake, nayo macho yake yakaangaa.⋮
อ่านในบริบท →
Copy this HTML into your site — free to use, no keys, no tracking. Add ?theme=light or ?theme=dark to the address to match your page.
<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/1sa/14/27" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="1 Samweli 14:27 — MEGA.Bible"></iframe>