MEGA.Bible ค้นหา
ไทย

1 Mambo Ya Nyakati 12:18

Kisha Roho wa Mungu akaja juu ya Amasai, mkuu wa wale Thelathini, naye akasema: “Sisi tu watu wako, ee Daudi! Nasi tuko pamoja na wewe, ee mwana wa Yese! Amani, naam, amani iwe kwako, pia amani kwa wale walio upande wako, kwa kuwa Mungu wako atakusaidia.” Kwa hiyo Daudi akawapokea na kuwafanya viongozi wa vikosi vyake vya uvamizi.

อ่านในบริบท

Embed this verse

Copy this HTML into your site — free to use, no keys, no tracking. Add ?theme=light or ?theme=dark to the address to match your page.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/1ch/12/18" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="1 Mambo Ya Nyakati 12:18 — MEGA.Bible"></iframe>