1 Mambo Ya Nyakati 12:18
Kisha Roho wa Mungu akaja juu ya Amasai, mkuu wa wale Thelathini, naye akasema: “Sisi tu watu wako, ee Daudi! Nasi tuko pamoja na wewe, ee mwana wa Yese! Amani, naam, amani iwe kwako, pia amani kwa wale walio upande wako, kwa kuwa Mungu wako atakusaidia.” Kwa hiyo Daudi akawapokea na kuwafanya viongozi wa vikosi vyake vya uvamizi.1 Mambo Ya Nyakati 12:18 katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- עֲמָשַׂיʻĂmâsayAmasai, the name of three Israelites
- קָבַלqâbalto admit, i.e. take (literally or figuratively)
- שָׁלִישׁshâlîysha triple, i.e. (as a musical instrument) a triangle (or perhaps rather threestringed lute)
- גְּדוּדgᵉdûwda crowd (especially of soldiers)
- יִשַׁיYishayJishai, David's father
- עָזַרʻâzarto surround, i.e. protect or aid
- לָבַשׁlâbashproperly, wrap around, i.e. (by implication) to put on agarment or clothe (oneself, or ano
- שְׁלוֹשִׁיםshᵉlôwshîymthirty; or (ordinal) thirtieth
+maneno 7 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.