Zekaria 1:8
Wakati wa usiku nilipata maono, na tazama, mbele yangu palikuwa na mtu akiendesha farasi mwekundu! Alikuwa amesimama katikati ya miti ya mihadasi kwenye bonde. Nyuma yake walikuwepo farasi wekundu, wa kikahawia, na weupe.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- מְצֻלָּהmᵉtsullâhshade
- שָׂרֻקsâruqbright red (as piercing to the sight), i.e. bay
- הֲדַסhădaçthe myrtle
- אָדֹםʼâdômrosy
- רָכַבrâkabto ride (on an animal or in a vehicle); causatively, to place upon (for riding or generall
- סוּסçûwça horse (as leaping); also a swallow (from its rapid flight)
- לַיִלlayilproperly, a twist (away of the light), i.e. night; figuratively, adversity
- עָמַדʻâmadto stand, in various relations (literal and figurative, intransitive and transitive)
+maneno 3 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Rev 6:4, Isa 55:13, Isa 41:19, Zec 13:7, Rev 2:1, Psa 45:3–4, Isa 63:1–4, Zec 6:2–7