Warumi 5:15
Lakini ile karama iliyotolewa haikuwa kama lile kosa. Kwa maana ikiwa watu wengi walikufa kwa sababu ya kosa la mtu mmoja, basi neema ya Mungu na ile karama iliyokuja kwa neema ya mtu mmoja, yaani Isa Al-Masihi, imezidi kuwa nyingi kwa ajili ya wengi.Warumi 5:15 katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- δωρεάdōreáa gratuity
- παράπτωμαparáptōmaa side-slip (lapse or deviation), i.e. (unintentional) error or (wilful) transgression
- χάρισμαchárismaa (divine) gratuity, i.e. deliverance (from danger or passion); (specially), a (spiritual)
- περισσεύωperisseúōto superabound (in quantity or quality), be in excess, be superfluous; also (transitively)
- μᾶλλονmâllon(adverbially) more (in a greater degree)) or rather
- ἀποθνήσκωapothnḗskōto die off (literally or figuratively)
- χάριςchárisgraciousness (as gratifying), of manner or act (abstract or concrete; literal, figurative
- οὕτωhoútōin this way (referring to what precedes or follows)
+maneno 15 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Rom 5:12, Rom 6:23, Eph 2:8, 1Jn 5:11, Isa 53:11, 2Co 9:15, Rom 5:16–20, 1Jn 4:9–10