Warumi 5:14
Hata hivyo, tangu wakati wa Adamu hadi wakati wa Musa, mauti ilitawala watu wote, hata wale ambao hawakutenda dhambi kwa kuvunja amri, kama alivyofanya Adamu, aliye mfano wa yule atakayekuja.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- ὁμοίωμαhomoíōmaa form; abstractly, resemblance
- παράβασιςparábasisviolation
- ἈδάμAdámAdam, the first man; typically (of Jesus) man (as his representative)
- τύποςtýposa die (as struck), i.e. (by implication) a stamp or scar; by analogy, a shape, i.e. a stat
- βασιλεύωbasileúōto rule (literally or figuratively)
- μέχριméchrias far as, i.e. up to a certain point (as a preposition, of extent (denoting the terminus,
- ἁμαρτάνωhamartánōproperly, to miss the mark (and so not share in the prize), i.e. (figuratively) to err, es
- ΜωσεύςMōseúsMoseus, Moses, or Mouses (i.e. Mosheh), the Hebrew lawgiver
+maneno 8 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.