Luka 6:49
Lakini yeye anayesikia maneno yangu wala asiyatende, ni kama mtu aliyejenga nyumba juu ya ardhi bila kuweka msingi. Mafuriko yalipoikumba nyumba ile, ikaanguka mara na kubomoka kabisa.”Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- ῥῆγμαrhēgmasomething torn, i.e. a fragment (by implication and abstractly, a fall)
- προσρήγνυμιprosrḗgnymito tear towards, i.e. burst upon (as a tempest or flood)
- θεμέλιοςtheméliossomething put down, i.e. a substruction (of a building, etc.), (literally or figuratively)
- ποταμόςpotamósa current, brook or freshet (as drinkable), i.e. running water
- χωρίςchōrísat a space, i.e. separately or apart from (often as preposition)
- οἰκοδομέωoikodoméōto be a house-builder, i.e. construct or (figuratively) confirm
- ὅμοιοςhómoiossimilar (in appearance or character)
- εὐθέωςeuthéōsdirectly, i.e. at once or soon
+maneno 14 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Ezk 33:31, Jas 1:22–26, 2Pe 1:5–9, Mat 23:3, Mat 13:20–22, 1Jn 2:3–4, Jas 2:17–26, Luk 10:12–16