Luka 5:17
Siku moja Isa alipokuwa akifundisha, Mafarisayo na walimu wa Torati, waliokuwa wametoka kila kijiji cha Galilaya na kutoka Yudea na Yerusalemu, walikuwa wameketi huko. Nao uweza wa Mwenyezi Mungu ulikuwa juu yake kuponya wagonjwa.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- νομοδιδάσκαλοςnomodidáskalosan expounder of the (Jewish) law, i.e. a Rabbi
- ἰάομαιiáomaito cure (literally or figuratively)
- κώμηkṓmēa hamlet (as if laid down)
- ἸουδαίαIoudaíathe Judæan land (i.e. Judæa), a region of Palestine
- ΓαλιλαίαGalilaíaGalilæa (i.e. the heathen circle), a region of Palestine
- ἹερουσαλήμHierousalḗmHierusalem (i.e. Jerushalem), the capitol of Palestine
- μίαmíaone or first
- κάθημαιkáthēmaiand (to sit; akin to the base of G1476 (ἑδραῖος)); to sit down; figuratively, to remain, r
+maneno 15 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.


