Yakobo 4:12
Yuko Mtoa sheria mmoja tu na yeye peke yake ndiye Hakimu; ndiye awezaye kuokoa au kuangamiza. Lakini wewe ni nani hata umhukumu jirani yako?Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- νομοθέτηςnomothétēsa legislator
- σώζωsṓzōto save, i.e. deliver or protect (literally or figuratively)
- ἀπόλλυμιapóllymito destroy fully (reflexively, to perish, or lose), literally or figuratively
- εἶeîthou art
- κρίνωkrínōby implication, to try, condemn, punish
- σύsýthou
- δύναμαιdýnamaito be able or possible
- εἷςheîsone
+maneno 5 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.