Yakobo 4:11
Ndugu, msineneane mabaya ninyi kwa ninyi. Mtu yeyote anayesema mabaya dhidi ya ndugu yake au kumhukumu, anasema dhidi ya sheria na kuihukumu. Unapoihukumu sheria, basi huishiki sheria, bali umekuwa hakimu wa kuihukumu hiyo sheria.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- καταλαλέωkatalaléōto be a traducer, i.e. to slander
- ποιητήςpoiētḗsa performer; specially, a "poet";
- ἀλλήλωνallḗlōnone another
- εἶeîthou art
- κρίνωkrínōby implication, to try, condemn, punish
- νόμοςnómoslaw (through the idea of prescriptive usage), genitive case (regulation), specially, (of M
- εἰeiif, whether, that, etc.
- ἀδελφόςadelphósa brother (literally or figuratively) near or remote (much like G1 (Α))
+maneno 6 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
1Pe 2:1, Rom 2:1, Jas 5:9, Luk 6:37, Psa 140:11, Rom 14:10–12, Mat 7:1–2, 1Co 4:5