Isaya 66:3
Lakini yeyote atoaye dhabihu ya fahali ni kama yeye auaye mtu, na yeyote atoaye sadaka ya mwana-kondoo, ni kama yule avunjaye shingo ya mbwa. Yeyote atoaye sadaka ya nafaka, ni kama yule aletaye damu ya nguruwe, na yeyote afukizaye uvumba wa kumbukumbu, ni kama yule aabuduye sanamu. Wamejichagulia njia zao wenyewe, nazo nafsi zao zinafurahia machukizo yao.Isaya 66:3 katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- עָרַףʻâraphto break the neck; hence (figuratively) to destroy
- חֲזִירchăzîyra hog (perhaps as penned)
- לְבוֹנָהlᵉbôwnâhfrankincense (from its whiteness or perhaps that of its smoke)
- כֶּלֶבkeleba dog; hence (by euphemism) a male prostitute
- שֶׂהseha member of a flock, i.e. a sheep or goat
- חָפֵץchâphêtsproperly, to incline to; by implication (literally but rarely) to bend; figuratively, to b
- אָוֶןʼâvenstrictly nothingness; also trouble. vanity, wickedness; specifically an idol
- שׁוֹרshôwra bullock (as a traveller)
+maneno 12 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Pro 15:8, Isa 1:11–15, Amo 5:21–22, Lev 2:2, Isa 66:17, Isa 65:12, Deu 14:8, Isa 65:3–4