Isaya 66:2
Je, mkono wangu haukuumba vitu hivi vyote, hivyo vikapata kuwepo?” asema Mwenyezi Mungu. “Mtu huyu ndiye ninayemthamini: yeye ambaye ni mnyenyekevu na mwenye roho yenye toba, atetemekaye asikiapo neno langu.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- נָכֶהnâkehsmitten, i.e. (literally) maimed, or (figuratively) dejected
- חָרֵדchârêdfearful; also reverential
- נָבַטnâbaṭto scan, i.e. look intently at; by implication, to regard with pleasure, favor or care
- עָנִיʻânîydepressed, in mind or circumstances
- רוּחַrûwachwind; by resemblance breath, i.e. a sensible (or even violent) exhalation; figuratively, l
- נְאֻםnᵉʼuman oracle
- יָדyâda hand (the open one (indicating power, means, direction, etc.),
- עָשָׂהʻâsâhto do or make, in the broadest sense and widest application
+maneno 1 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.