2 Samweli 24:16
Malaika aliponyoosha mkono wake ili kuangamiza Yerusalemu, Mwenyezi Mungu akahuzunika kwa sababu ya maafa, akamwambia yule malaika aliyekuwa anawadhuru watu, “Yatosha! Rudisha mkono wako.” Wakati huo malaika wa Mwenyezi Mungu alikuwa kwenye sakafu ya kupuria ya Arauna Myebusi.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Wapi
Lini
Kwa maneno gani
- אֲרַוְנָהʼĂravnâhAravnah (or Arnijah or Ornah), a Jebusite
- יְבוּסִיYᵉbûwçîya Jebusite or inhabitant of Jebus
- גֹּרֶןgôrena threshing-floor (as made even); by analogy, any open area
- רָפָהrâphâhto slacken (in many applications, literal or figurative)
- נָחַםnâchamproperly, to sigh, i.e. breathe strongly; by implication, to be sorry, i.e. (in a favorabl
- שָׁחַתshâchathto decay, i.e. (causatively) ruin (literally or figuratively)
- מֲלְאָךְmălʼâka messenger; specifically, of God, i.e. an angel (also a prophet, priest or teacher)
- רַבrababundant (in quantity, size, age, number, rank, quality)
+maneno 7 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
