2 Samweli 24:17
Ikawa Daudi alipomwona huyo malaika aliyekuwa akiwaua watu, akamwambia Mwenyezi Mungu, “Mimi ndiye niliyetenda dhambi na kukosa. Hawa ni kondoo tu. Wamefanya nini? Mkono wako uwe juu yangu na nyumba yangu.”Mstari huu katika ulimwengu halisi
Lini
Kwa maneno gani
- עָוָהʻâvâhto crook, literally or figuratively
- מֲלְאָךְmălʼâka messenger; specifically, of God, i.e. an angel (also a prophet, priest or teacher)
- חָטָאchâṭâʼproperly, to miss; hence (figuratively and generally) to sin; by inference, to forfeit, la
- צֹאןtsôʼna collective name for a flock (of sheep or goats); also figuratively (of men)
- נָכָהnâkâhto strike (lightly or severely, literally or figuratively)
- דָּוִדDâvidDavid, the youngest son of Jesse
- אָבʼâbfather, in a literal and immediate, or figurative and remote application
- רָאָהrâʼâhto see, literally or figuratively (in numerous applications, direct and implied, transitiv
+maneno 6 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
1Ch 21:16–17, Psa 74:1, 2Sa 24:10, Job 42:6, Ezk 34:23–24, 1Ki 22:17, Ezk 34:2–6, Zec 13:7