2 Wafalme 23:8
Yosia akawaleta makuhani wote wa Mwenyezi Mungu kutoka miji yote ya Yuda, na kunajisi mahali pa juu pa kuabudia, kuanzia Geba hadi Beer-Sheba, mahali pote ambapo hao makuhani wa miungu walifukiza uvumba. Akabomoa mahali pa kuwekea vitu vya ibada za miungu palipokuwa katika malango, kwenye ingilio la Lango la Yoshua, mtawala wa mji, lililoko upande wa kushoto wa lango la mji.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Lini
Kwa maneno gani
- גֶּבַעGebaʻGeba, a place in Palestine
- בְּאֵר שֶׁבַעBᵉʼêr ShebaʻBeer-Sheba, a place in Palestine
- נָתַץnâthatsto tear down
- שְׂמֹאולsᵉmôʼwlproperly, dark (as enveloped), i.e. the north; hence (by orientation), the left hand
- בָּמָהbâmâhan elevation
- קָטַרqâṭarto smoke, i.e. turn into fragrance by fire (especially as an act of worship)
- טָמֵאṭâmêʼto be foul, especially in a ceremial or moral sense (contaminated)
- פֶּתַחpethachan opening (literally), i.e. door (gate) or entrance way
+maneno 8 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Kilichobaki
- The dismantled horned altar of BeershebaImethibitishwa na ardhiA monumental sacrificial altar at a Judahite provincial centre was deliberately dismantled and its stones reused, in the eighth century.
- The Arad ostraca — "the house of YHWH"Imethibitishwa na ardhiEveryday army paperwork from a Judahite fort refers to the temple of YHWH and carries the same stock of personal names as the biblical books of the period.


