MEGA.Bible Tafuta
Kiswahili

2 Wafalme 23:8

Yosia akawaleta makuhani wote wa Mwenyezi Mungu kutoka miji yote ya Yuda, na kunajisi mahali pa juu pa kuabudia, kuanzia Geba hadi Beer-Sheba, mahali pote ambapo hao makuhani wa miungu walifukiza uvumba. Akabomoa mahali pa kuwekea vitu vya ibada za miungu palipokuwa katika malango, kwenye ingilio la Lango la Yoshua, mtawala wa mji, lililoko upande wa kushoto wa lango la mji.

Soma katika muktadha

Mstari huu katika ulimwengu halisi

Kilichobaki

  • The dismantled horned altar of BeershebaImethibitishwa na ardhiA monumental sacrificial altar at a Judahite provincial centre was deliberately dismantled and its stones reused, in the eighth century.
  • The Arad ostraca — "the house of YHWH"Imethibitishwa na ardhiEveryday army paperwork from a Judahite fort refers to the temple of YHWH and carries the same stock of personal names as the biblical books of the period.
Pachika mstari huu

Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/2ki/23/8" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="2 Wafalme 23:8 — MEGA.Bible"></iframe>