2 Wafalme 23:7
Akabomoa pia nyumba za mahanithi wa mahali pa ibada, zilizokuwa ndani ya Hekalu la Mwenyezi Mungu, nyumba ambazo wanawake walifumia pazia kwa ajili ya Ashera.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Lini
Nani
Kwa maneno gani
- קָדֵשׁqâdêsha (quasi) sacred person, i.e. (technically) a (male) devotee (by prostitution) to licentio
- אָרַגʼâragto plait or weave
- אֲשֵׁרָהʼăshêrâhAsherah (or Astarte) a Phoenician goddess; also an image of the same
- נָתַץnâthatsto tear down
- אִשָּׁהʼishshâha woman
- בַּיִתbayitha house (in the greatest variation of applications, especially family, etc.)
- יְהֹוָהYᵉhôvâhJehovah, Jewish national name of God
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
1Ki 15:12, Ezk 16:16, 1Ki 14:24, Exo 35:25–26, Ezk 8:14, Rom 1:26–27, 1Ki 22:46, Gen 19:4–5