2 Wafalme 23:5
Akawafukuza makuhani wa kipagani waliokuwa wameteuliwa na wafalme wa Yuda kufukiza uvumba katika mahali pa juu pa kuabudia katika miji ya Yuda na ile iliyozunguka Yerusalemu, yaani wale waliofukiza uvumba kwa Baali, kwa jua na mwezi, kwa makundi ya nyota, na jeshi lote la angani.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Wapi
Lini
Kwa maneno gani
- מַזָּלָהmazzâlâha constellation, i.e. Zodiacal sign (perhaps as affecting the weather)
- כָּמָרkâmârproperly, an ascetic (as if shrunk with self-maceration), i.e. an idolatrous priest (only
- מֵסַבmêçaba divan (as enclosing the room); abstractly (adverbial) around
- יָרֵחַyârêachthe moon
- בַּעַלBaʻalBaal, a Phoenician deity
- שָׁבַתshâbathto repose, i.e. desist from exertion; used in many implied relations (causative, figurativ
- בָּמָהbâmâhan elevation
- שֶׁמֶשׁshemeshthe sun; by implication, the east; figuratively, a ray, i.e. (architectural) a notched bat
+maneno 8 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
