2 Wafalme 18:10
Baada ya miaka mitatu Waashuru wakautwaa. Kwa hiyo Samaria ulitekwa katika mwaka wa sita wa utawala wa Mfalme Hezekia, ambao ulikuwa mwaka wa tisa wa utawala wa Hoshea mfalme wa Israeli.2 Wafalme 18:10 katika ulimwengu halisi
Wapi
Kwa maneno gani
- הוֹשֵׁעַHôwshêaʻHoshea, the name of five Israelites
- תֵּשַׁעtêshaʻnine or (ordinal) ninth
- חִזְקִיָּהChizqîyâhChizkijah, a king of Judah, also the name of two other Israelites
- קָצֶהqâtsehan extremity
- לָכַדlâkadto catch (in a net, trap or pit); generally, to capture or occupy; also to choose (by lot)
- שֹׁמְרוֹןShômᵉrôwnShomeron, a place in Palestine
- שֵׁשׁshêshsix (as an overplus beyond five or the fingers of the hand); as ord. sixth
- שָׁלוֹשׁshâlôwshthree; occasionally (ordinal) third, or (multiple) thrice
+maneno 3 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
