2 Wafalme 11:2
Lakini Yehosheba, binti ya Mfalme Yehoramu, aliyekuwa pia dada yake Ahazia, akamtwaa Yoashi mwana wa Ahazia kwa siri kutoka miongoni mwa wana wa mfalme waliokuwa karibu kuuawa. Akamweka Yoashi pamoja na yaya wake ndani ya chumba cha kulala na kumficha humo ili Athalia asimwone; kwa hiyo hakuuawa.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- יְהוֹשֶׁבַעYᵉhôwshebaʻJehosheba, an Israelitess
- יוֹרָםYôwrâmJoram, the name of three Israelites and one Syrian
- עֲתַלְיָהʻĂthalyâhAthaljah, the name of an Israelitess and two Israelites
- מִטָּהmiṭṭâha bed (as extended) forsleeping or eating; by analogy, a sofa, litter or bier
- יָנַקyânaqto suck; causatively, to give milk
- אֲחַזְיָהʼĂchazyâhAchazjah, the name of a Jewish and an Israelite king
- גָּנַבgânabto thieve (literally or figuratively); by implication, to deceive
- חֶדֶרchederan apartment (usually literal)
+maneno 10 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Isa 37:35, 2Ki 11:21–12:2, Jer 33:21, 2Ki 8:19, Isa 65:8–9, Ezk 40:45, Isa 7:6–7, 1Ki 6:10