2 Wafalme 10:24
Kwa hiyo wakaingia ndani ili kutoa kafara na sadaka ya kuteketezwa. Wakati huu, Yehu alikuwa amewaweka watu wake themanini akiwa amewapa onyo kwamba, “Ikiwa mmoja wenu atamwachia mtu yeyote ninayemweka mikononi mwenu atoroke, itakuwa uhai wako kwa uhai wake.”2 Wafalme 10:24 katika ulimwengu halisi
Lini
Nani
Kwa maneno gani
- שְׁמֹנִיםshᵉmônîymeighty, also eightieth
- יֵהוּאYêhûwʼJehu, the name of five Israelites
- מָלַטmâlaṭproperly, to be smooth, i.e. (by implication) to escape (as if by slipperiness); causative
- חוּץchûwtsproperly, separate by awall, i.e. outside, outdoors
- זֶבַחzebachproperly, a slaughter, i.e. the flesh of an animal; by implication, a sacrifice (the victi
- עֹלָהʻôlâha step or (collectively, stairs, as ascending); usually a holocaust (as going up in smoke)
- אֱנוֹשׁʼĕnôwsha man in general (singly or collectively)
- שׂוּםsûwmto put (used in a great variety of applications, literal, figurative, inferentially, and e
+maneno 6 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.