2 Wafalme 10:25
Mara baada ya Yehu kutoa sadaka ya kuteketezwa, akawaamuru walinzi na maafisa: “Ingieni ndani, waueni; asitoroke hata mmoja.” Basi wakawakatakata kwa upanga. Walinzi na maafisa wakazitupa zile maiti nje, kisha wakaingia mahali pa ndani pa ibada katika hekalu la Baali.2 Wafalme 10:25 katika ulimwengu halisi
Lini
Kwa maneno gani
- שָׁלִישׁshâlîysha triple, i.e. (as a musical instrument) a triangle (or perhaps rather threestringed lute)
- יֵהוּאYêhûwʼJehu, the name of five Israelites
- בַּעַלBaʻalBaal, a Phoenician deity
- רוּץrûwtsto run (for whatever reason, especially to rush)
- שָׁלַךְshâlakto throw out, down or away (literally or figuratively)
- כָּלָהkâlâhto end, whether intransitive (to cease, be finished, perish) or transitived (to complete,
- עֹלָהʻôlâha step or (collectively, stairs, as ascending); usually a holocaust (as going up in smoke)
- חֶרֶבcherebdrought; also a cutting instrument (from its destructive effect), as a knife, sword, or ot
+maneno 10 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Rev 16:6–7, 1Ki 18:40, Ezk 22:21–22, Ezk 9:5–7, Deu 13:6–11, Exo 32:27