2 Wafalme 10:23
Kisha Yehu na Yehonadabu mwana wa Rekabu wakaingia ndani ya hekalu la Baali. Yehu akawaambia watumishi wa Baali, “Tazameni kila mahali mhakikishe kwamba hakuna hata mtumishi mmoja wa Mwenyezi Mungu aliye hapa pamoja nanyi, ila ni watumishi wa Baali tu.”2 Wafalme 10:23 katika ulimwengu halisi
Lini
Kwa maneno gani
- יְהוֹנָדָבYᵉhôwnâdâbJehonadab, the name of an Israelite and of an Arab
- רֵכָבRêkâbRekab, the name of two Arabs and of two Israelites
- חָפַשׂchâphasto seek; causatively, to conceal oneself (i.e. let be sought), or mask
- יֵהוּאYêhûwʼJehu, the name of five Israelites
- בַּעַלBaʻalBaal, a Phoenician deity
- יֵשׁyêshthere is or are (or any other form of the verb to be, as may suit the connection)
- עָבַדʻâbadto work (in any sense); by implication, to serve, till, (causatively) enslave, etc.
- עֶבֶדʻebeda servant
+maneno 6 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.