2 Mambo Ya Nyakati 33:15
Akaondolea mbali miungu ya kigeni pamoja na sanamu kutoka Hekalu la Mwenyezi Mungu. Pia akaondoa madhabahu zote alizojenga katika kilima kilichojengwa Hekalu, na katika Yerusalemu, akazitupa nje ya mji.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Wapi
Nani
Kwa maneno gani
- סֶמֶלçemela likeness
- נֵכָרnêkârforeign, or (concretely) a foreigner, or (abstractly) heathendom
- שָׁלַךְshâlakto throw out, down or away (literally or figuratively)
- חוּץchûwtsproperly, separate by awall, i.e. outside, outdoors
- סוּרçûwrto turn off (literal or figurative)
- מִזְבֵּחַmizbêachan altar
- בָּנָהbânâhto build (literally and figuratively)
- הַרhara mountain or range of hills (sometimes used figuratively)
+maneno 5 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
2Ch 33:3–7, Mat 3:8, 2Ki 21:7, Ezk 18:20–22, Hos 14:1–3, Isa 2:17–21
