1 Mambo Ya Nyakati 28:4
“Hata hivyo, Mwenyezi Mungu, Mungu wa Israeli, alinichagua mimi kutoka jamaa zangu wote niwe mfalme juu ya Israeli milele. Alimchagua Yuda kuwa kiongozi, na kutoka nyumba ya Yuda akaichagua jamaa yangu, na kutoka wana wa baba yangu ikampendeza kunifanya niwe mfalme juu ya Israeli yote.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- נָגִידnâgîyda commander (as occupying the front), civil, military or religious; generally (abstractly,
- רָצָהrâtsâhto be pleased with; specifically, to satisfy adebt
- בָּחַרbâcharproperly, to try, i.e. (by implication) select
- מָלַךְmâlakto reign; inceptively, to ascend the throne; causatively, to induct into royalty; hence (b
- עוֹלָםʻôwlâmproperly, concealed, i.e. the vanishing point; generally, time out of mind (past or future
- יְהוּדָהYᵉhûwdâhJehudah (or Judah), the name of five Israelites; also of the tribe descended from the firs
- אָבʼâbfather, in a literal and immediate, or figurative and remote application
- בַּיִתbayitha house (in the greatest variation of applications, especially family, etc.)
+maneno 5 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
1Sa 16:1, 1Ch 5:2, 1Sa 16:6–13, 1Ch 17:23, Gen 49:8–10, 1Ch 17:27, 2Sa 7:8–16, Psa 147:10–11