MEGA.Bible Tafuta
Kiswahili

1 Mambo Ya Nyakati 12:19

Baadhi ya watu kutoka kabila la Manase wakajiunga na Daudi alipoenda pamoja na Wafilisti kupigana na Sauli. (Daudi na watu wake hawakuwasaidia Wafilisti kwa sababu baada ya ushauri, watawala wao walimrudisha. Wakasema, “Itatugharimu vichwa vyetu kama Daudi atatuasi na kurudi kwa Sauli bwana wake.”)

Soma katika muktadha

1 Mambo Ya Nyakati 12:19 katika ulimwengu halisi

Marejeleo mtambuka

1Sa 29:2–9

Pachika mstari huu

Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/1ch/12/19" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="1 Mambo Ya Nyakati 12:19 — MEGA.Bible"></iframe>