1 Mambo Ya Nyakati 12:20
Daudi alipoenda Siklagi, hawa ndio wanaume wa kabila la Manase waliojiunga naye: Adna, Yozabadi, Yediaeli, Mikaeli, Yozabadi, Elihu na Silethai, viongozi wa vikosi vya watu elfu moja katika kabila la Manase.1 Mambo Ya Nyakati 12:20 katika ulimwengu halisi
Wapi
Kwa maneno gani
- עַדְנָהʻAdnâhAdnah, the name of two Israelites
- צִלְּתַיTsillᵉthayTsillethai, the name of two Israelites
- יְדִיעֲאֵלYᵉdîyʻăʼêlJediael, the name of three Israelites
- יוֹזָבָדYôwzâbâdJozabad, the name of ten Israelites
- אֱלִיהוּʼĔlîyhûwElihu, the name of one of Job's friends, and of three Israelites
- מִיכָאֵלMîykâʼêlMikael, the name of an archangel and of nine Israelites
- צִקְלַגTsiqlagTsiklag or Tsikelag, a place in Palestine
- מְנַשֶּׁהMᵉnashshehMenashsheh, a grandson of Jacob, also the tribe descended from him, and its territory
+maneno 4 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
