MEGA.Bible Tafuta
Kiswahili

1 Mambo Ya Nyakati 12:17

Daudi akatoka nje kuwalaki na akawaambia, “Kama mmekuja kwangu kwa amani, kunisaidia, mimi niko tayari kuwaruhusu ninyi kuungana nami. Lakini kama mmekuja ili kunisaliti kwa adui zangu wakati mikono yangu haina hatia, basi Mungu wa baba zetu aone na awahukumu.”

Soma katika muktadha

1 Mambo Ya Nyakati 12:17 katika ulimwengu halisi

Pachika mstari huu

Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/1ch/12/17" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="1 Mambo Ya Nyakati 12:17 — MEGA.Bible"></iframe>