1 Mambo Ya Nyakati 12:17
Daudi akatoka nje kuwalaki na akawaambia, “Kama mmekuja kwangu kwa amani, kunisaidia, mimi niko tayari kuwaruhusu ninyi kuungana nami. Lakini kama mmekuja ili kunisaliti kwa adui zangu wakati mikono yangu haina hatia, basi Mungu wa baba zetu aone na awahukumu.”1 Mambo Ya Nyakati 12:17 katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- רָמָהrâmâhto hurl; specifically, to shoot; figuratively, to delude or betray (as if causing to fall)
- חָמָסchâmâçviolence; by implication, wrong; by meton. unjust gain
- יָכַחyâkachto be right (i.e. correct); reciprocal, to argue; causatively, to decide, justify or convi
- עָזַרʻâzarto surround, i.e. protect or aid
- לֹאlôʼnot (the simple or abs. negation); by implication, no; often used with other particles
- צַרtsarnarrow; (as a noun) a tight place (usually figuratively, i.e. trouble); also a pebble ; (t
- יַחַדyachadproperly, a unit, i.e. (adverb) unitedly
- כַּףkaphthe hollow hand or palm (so of the paw of an animal, of the sole, and even of the bowl of
+maneno 11 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
1Pe 2:23, Jud 1:9, 2Sa 3:20–25, 1Co 1:10, 2Co 13:11, Zec 3:2, Psa 12:1–2, 1Sa 16:4