MEGA.Bible Tafuta
Kiswahili

1 Mambo Ya Nyakati 11:19

Akasema, “Mungu apishie mbali kwamba nifanye hivi! Je kweli, niinywe damu ya watu hawa waliohatarisha maisha yao?” Kwa sababu walihatarisha maisha yao kuyaleta yale maji, Daudi hakukubali kuyanywa. Huo ndio uliokuwa ujasiri wa wale mashujaa watatu.

Soma katika muktadha

1 Mambo Ya Nyakati 11:19 katika ulimwengu halisi

Nani

God

Pachika mstari huu

Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/1ch/11/19" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="1 Mambo Ya Nyakati 11:19 — MEGA.Bible"></iframe>