1 Mambo Ya Nyakati 11:19
Akasema, “Mungu apishie mbali kwamba nifanye hivi! Je kweli, niinywe damu ya watu hawa waliohatarisha maisha yao?” Kwa sababu walihatarisha maisha yao kuyaleta yale maji, Daudi hakukubali kuyanywa. Huo ndio uliokuwa ujasiri wa wale mashujaa watatu.1 Mambo Ya Nyakati 11:19 katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- חָלִילָהchâlîylâhliteral fora profaned thing; used (interj.) far be it!
- זֹאתzôʼththis (often used adverb)
- אָבָהʼâbâhto breathe after, i.e. (figuratively) to be acquiescent
- גִּבּוֹרgibbôwrpowerful; by implication, warrior, tyrant
- שָׁתָהshâthâhto imbibe (literally or figuratively)
- דָּםdâmblood (as that which when shed causes death) of man or an animal; by analogy, the juice of
- שָׁלוֹשׁshâlôwshthree; occasionally (ordinal) third, or (multiple) thrice
- אֱנוֹשׁʼĕnôwsha man in general (singly or collectively)
+maneno 5 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.