MEGA.Bible Tafuta
Kiswahili

1 Mambo Ya Nyakati 11:18

Kwa hivyo wale watatu, wakapita katikati ya safu za Wafilisti, wakachota maji kutoka kwa kisima kilicho karibu na lango la Bethlehemu, wakamletea Daudi. Lakini yeye akakataa kuyanywa. Badala yake, aliyamimina mbele za Mwenyezi Mungu.

Soma katika muktadha

1 Mambo Ya Nyakati 11:18 katika ulimwengu halisi

Pachika mstari huu

Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/1ch/11/18" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="1 Mambo Ya Nyakati 11:18 — MEGA.Bible"></iframe>