Ikawa baada ya mambo haya, Daudi akamuuliza Mwenyezi Mungu, “Je, nipande kwenda katika mojawapo ya miji ya Yuda?” Mwenyezi Mungu akasema, “Panda.” Daudi akauliza, “Je, niende wapi?” Mwenyezi Mungu akajibu, “Nenda Hebroni.”
Скопируйте этот HTML на свой сайт — свободное использование, без ключей, без слежки. Добавьте ?theme=light или ?theme=dark к адресу, чтобы подошло к вашей странице.